
1,328 likes
BASATA needs to understand that <>even the 'human body' is the best work of ART..
- Sehemu iliyofanyika tukio hawajaona kosa iwaje basata wamfungie. 'In Rome do as the Romans'.
- @fidq kiukweli basata hawajakua na ground nzuri za maamuzi yao@shilolekiuno ni moja kati ya wadada wanaofight sana na huu mziki pia anajitahid saaana hata kusapoti wasanii wengine bila matabaka, wangempa officcial warning, kwakwel mwaka mmoja kimziki ni mrefu sana. They have to think twice
- Wote tuna tafuta mkwanja aseee...!! Lakini ............. Haikubariki
- Kwa nini waziri mwenye dhamana, asipangue jopo lote, wa wekwe watu wengine, maana hao waliopo amna wanachokifa, yani kusimamia vyema tasnia zima ya sanaa, akuna mlengo mkakati waliyoufanya tuseme wanakuza au kusimamia tasnia ya sanaa, zaidi ya kutafuta kick tu, tunzo usimamizi mbovu yani madudu
Comments
Post a Comment