(Sports) MESSI NA NEYMAR JR WAUNGANA NA WENZAO KWA AJILI YA MSIMU MPYA

Lionel Messi pamoja Neymar jr wameripoti mazoezini jana kwa ajili ya kuungana na timu yao kwa ajili ya msimu mpya utakaoanza wiki chache zijazo.Messi na Neymar jr walipewa likizo ndefu kidogo kutoka klabuni hapo pamoja na mwaAgentina mwengine Mascherano





fcbarcelona

Comments