(SportsNews) #Soma Kocha Arsene Wenger Asema Wako Bize Masaa 24 kutafuta Usajili Mpya

Arsene Wenger  Amesema ya kuwa bado yupo kwenye mchakato wa kumtafuta mshambuliaji mpya na body yake ya usajili inahangaika usiku na mchana ili kupata saini ya mchezaji mpya kabla ya dirisha la usajili halijafungwa.

The Gunners wamemsajili Petr Cech kutoka Chelsea kipindi hiki cha usajili.Pia target yao  Karim Benzema  na Grzegorz Krychowiak wameng`ang`ania Real Madrid  na Sevilla.

Pia amesema timu yake ya usajili bado inatafuta viungo wakabaji na na viungo washambuliaji kila sehemu ili kuwahi kuwapata kabla Dirisha la Usajili halijafungwa.

Wenger aliwaambia waandishi wa habaari “I’m available 24 hours a day and I have a whole team behind me working round the clock,” .



Pia ikumbukwe The Gunners  wameaanza vibaya msimu huu na kuruhusu kupoteza point tano kwenye game tatu za ufunguzi "Wenger asema nilitaka tuanze kwa kasi.,kwa sababu tuna mechi ngumu mbele yetu  pia liverpool walikuja kwetu na tumepoteza point zingine.


Comments